Social Icons

Thursday, August 19, 2010

MISS TANZANIA KWENDA ZIARA YA UTALII ARUSHA

WAREMBO wanaoshiriki kinyang’anyiro cha kumsaka mrithi wa taji la Miss Tanzania mwaka huu leo walikuwa katika hafla ya pamoja na vyombo vya habari iliyofanyika katika Hoteli ya Girrafe jijini Dar es Salaam ambapo mratibu wa mashindano hayo ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Rhino Agency, Hashim Lundenga, alisema kwamba wanyange hao kesho asubuhi wataanza ziara katika vivutio mbalimbali vya utalii nchini wakianzia mikoa ya Kilimanjaro naArusha.

Warembo wakiwa kwenye picha ya pamoja katika Hoteli ya Girrafe.

Miss Tanzania 2009/2010 ambaye anashikilia taji hilo, Miriam Gerald, akiwa katika pozi kwenye hafla hiyo.


0 comments: