
ULE mpango mzima unaohusisha wanafunzi kutoka shule mbalimbali za jijini Dar es Salaam ambao unajulikana kama ‘Jam Session’ ambapo wanafunzi watakuwa wakikutanika na kucheza miziki na sarakasi, jana ulizinduliwa rasmi ndani ya ukumbi wa klabu ya Sun Cirro uliopo maeneo ya Legho, Sinza, jijini Dar es Salaam, kwa onyesho lililofanywa na msanii kutoka nchini Uganda, Michael Ross.
Michael Ross akifanya makamuzi ya nguvu katika uzinduzi huo.
Witness naye hakuwa nyuma kuonyesha vitu vyake muda mfupi baada ya kupanda jukwaani.
0 comments:
Post a Comment