Thursday, May 20, 2010
NIMUONEKANO WAKE TU KATIKA POZI!!
Mrembo anayekwenda kwa jina la Glory hilo ndilo jina maarufu, anapiga mzigo ndani ya nduka la Zizzou Fashion Sinza Afrika sana na hapa ilikuwa siku ya Dinner Part ndani ya Hotel ya The Atriums iliyopo maeneo ya Sinza Afrika Sana karibu na duka analofanyia kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment