Social Icons

Tuesday, May 18, 2010

MZEE CHILO SAMBAMBA NA KIBURUDISHO CHA NANII!


Mcheza filamu matawi ya juu na mwenye sifa lukuki za kuvaa husika katika Vipande anachopangiwa anapokuwa katika suala zima la uigizaji Ahamed Olotu ‘Mzee Chilo’ siku moja katika pitapita za muandaji wa blog alifanikiwa kuinasa picha hii akiwa ameuchubua sti moja na Kiburudisho cha mwanafilam mzwenzake kama hakifahamu vile, iwapo mpango wote huu ulikuwa ndani ya Kumbi wa Makete Mbezi beach jijini Dar.

0 comments: