Social Icons

Tuesday, August 30, 2011

AUAWA KWA WIZI WA KUKU

Marehemu NASIB EXZAVERY maalufu kama Mkemia akiwa amechomwa moto eneo la viwanja vya Shule ya Msingi Mwenge Jijini Mbeya kwa kosa la wizi wa kuku ambaye Mwenye Kuku huyo hajafahamika.

Marehemu NASIB pamoja na Kuku waliodaiwa kuwaiba na kumsababishia kifo.
Inasikitisha sana
Jeshi la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kuuchukua Mwili wa marehemu na kuupeleka katika hospitali ya Rufaa mkoani Mbeya.

PICHA/HABARI: MBEYA YETU BLOG

0 comments: