Social Icons

Thursday, June 30, 2011

MBUNGE WA VITI MAALUM ASITISHA MIKUTANO YA BUNGE

MBUNGE WA VITI MAALUM CHIKU ABWAO AVIPA KISOGO VIKAO VYA BUNGE AMUUGUZA MAMAYE MZAZI

MBUNGE wa viti maalum wa mkoa wa Iringa, Chiku Abwao, hatimaye ameamua kukacha shughuli za bunge na kwenda kumuuguza mama yake mzazi, Tatu Abdallahman (79), ambaye amerejeshwa hospitali na kutibiwa nyumbani kwake kijiji cha Gangilonga mjini Iringa.
Mgonjwa huyo anasumbuliwa na matatizo ya mshtuko wa moyo na umepelekea kupooza mguu wa kushoto na mkono.
Mbunge huyo Chiku Abwao ameshindwa kuhudhuria Vikao vya bajeti ya Serikali vianavyoendelea mjini Dodoma kwa siku kadhaa sasa kutokana na kumuuguza mama yake.

0 comments: