Social Icons

Wednesday, June 29, 2011

MPANGO MZIMA BONGO NIGHT

Msanii wa Bongo Fleva Steve William ‘R&B’ akirekodi wimbo studio, Kinondoni, Dar.

….Akiwa na msanii mwenzake, Edson Wilson ‘Baby Boy’.


Jamaa huyu (anayevuja damu mgongoni) ambaye ni dereva wa daladala amenusurika kifo baada ya kupigiwa mayowe ya mwizi na kupewa kipigo kidogo na wananchi sehemu za Bamaga-Mwenge, jijini Dar. Hata hivyo, ilibainika hakuwa mwizi.


Gari alilokuwa analiendesha dereva huyo.

0 comments: