Social Icons

Saturday, April 30, 2011

WAKAZI WA DAR WANAVYOJIACHIA USIKU

Mashabiki wa Bendi ya Akudo Impact wakiserebuka katika onyesho lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mango Garden uliopo Kinondoni jijini.


Wanenguaji wa Bendi ya Akudo wakiwajibika jukwaani.


Mackey Fanta (katikati) akinengua na wanamuziki wake wa Nina La Musica katika onyesho lililofanyika Ukumbi wa Twiga Kitunda.


Wanenguaji wa Bendi ya Extra Bongo wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati bendi yao ilipotumbiza Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza


Wanenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, wakinengua kwa staili ya Kulamba sakafu.

0 comments: