Social Icons

Saturday, April 30, 2011

FARAJA KIHONGOLE WA CHANEL TEN AFUNGA NDO LEO KANISA LA ST. PETER

Mwandishi wa habari mwandamizi wa kituo cha Televisheni cha Chanell Ten, Faraja Kihongole akiwa na akipozi na mumewe, Projestus Rwegarulila, baada ya kufunga pingu za maisha leo jioni katika Kanisa la Mtakatifu Peter Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Faraja Kihongole, akiingia kanisani na mumewe, Projestus Rwegarulila,
kwa ajili ya kufunga ndoa yao leo jioni.
Faraja akiwa na Mumewe Rwegarulila, wakionyesha vyeti vya ndo baada ya kukabidhiwa kanisani hapo.

0 comments: