Social Icons

Saturday, April 30, 2011

RAIS JAKAYA KIKWETE AWAAPISHA MANAIBU KATIBU WAKUU IKULU DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akimwapisha John Thomas Mngodo, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi wakati wa hafla fupi ya kuapishwa Manaibu Katibu Wakuu iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akimwapisha Mwamini Juma Malemi, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati wa hafla fupi ya kuapishwa Manaibu Katibu Wakuu iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja na wanafamili wa naibu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akifurahia na mtoto, Irene Simba ambaye ni mtoto wa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Juma Malemi (kushoto)




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akimwapisha Anna Maembe. kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Kikwete (katikati) Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakipiga picha ya kumbukumbi na Manaibu Makatibu Wakuu, baada ya kuapishwa rasmi.

Rais Jakaya Kikwete, Makamu wake Dkt Mohamed Gharib Bilal, wakipiga picha ya kumbukumbi na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT, Eng. Mussa Ibrahim, akiwa na familia yake baada ya kuapishwa rasmi.

Makamuwa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakati wa hafla hiyo.

0 comments: