Social Icons

Monday, February 21, 2011

WAZIRI MKUU ASHIRIKI IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU WA BUNDA RENATUS NKWANDE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha Askofu wa Jimbio la Bunda Renatus Nkwande katika Ibada ya kumsimika Askofu huyo kwenye viwanja vya kanisa katoliki parokia ya Bunda jana.

Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.

0 comments: