Social Icons

Thursday, February 24, 2011

CHADEMA WAANDAMANA, MJI WA MWANZA WASIMAMA!


Taarifa kutoka jiji la Mwanza zinasema kuwa Chadema wameandamana kama walivyopanga na mji umesimama kwa muda kufanya shughuli nyingine ili kushiriki katika msafara huo, ambao unaelezwa kuwa na waendesha pikipiki wengi na magari.

0 comments: