Social Icons

Saturday, February 19, 2011

UBOVU WA BARABARA DAR- MASASI

Abiria wakijitahidi kusukuma ili kulinasua basi namba T357 BMF lililokuwa limekwama katika eneo la Malendega jirani na Nangulukuru mkoani Lindi. Usafiri wa kusini umezidi kuwa mgumu kutokana na eneo hilo kutokamilika ujenzi wake.

Baadhi ya abiria ambao walikwama katika eneo la Malendega jirani na Nangulukuru mkoani Lindi wakiwa hawana la kufanya..



Kondakta wa basi la Safari Coach (kushoto mwenye shati la bluu) ambalo namba zake hazikupatikana kutokana na kuzibwa na matope, akijitahidi kusawazisha sehemu ili basi hilo liweze kujinasua katika tope eneo la Malendega jirani na Nangulukuru mkoani Lindi.

0 comments: