Social Icons

Thursday, February 17, 2011

INATISHIA AMANI GONGO LA MBOTO

Rais JK akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufika sehemu ya tukio.
Picha ikionyesha Uwanja wa Ndege wa Taifa.
Baadhi ya wasafiri wakiwa wamejazana uwanjani hapo wakisubiria hadi hari ya hewa ikiwa shwari ili waweze kusafiri.
Waziri wa Ulinzi na Usalama Hussen Mwinyi, akiongea na waandishi wa habari ndani ya kambi ya Jeshi ya Gongo la Mboto mapema leo.
Moja ya jengo la darasa la Shule ya Pugu likiwa limevunjwa na bomu.
Nyumbailiyokumbwa na dhahama ya mabomu.
Baadhi ya maaskali wakiwa wamebeba mabomu, yaliyosalia baadada ya kudondoka Uwanja wa ndege.
Mkuu wa Majeshi nchini (kulia), akiongea jambo na wafuasi wake.

Waandishi wa Habari na wanajeshi wakisikiliza Hotuba ya Rais.
Moja ya nyumba iliyoasiliwa na Mabomu.
Bomu likiwa nje ya nyumba ya mkazi.
Baadhi ya wakazi wa Gongo la Mboto wakisikiliza majina ya watoto wao, kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Raia wakiwa kwenye hari ya huzuni Kiwanjani hapo.
Moja ya Bomu likizagaa.
Moja ya nyumba iliyosambazwa na bomu.
Bomu likiwa mbele ya nyumba ya mtu.
Bomu likiwa limejichimbia chini ya mti karibu na makazi ya watu.
Moja ya baki la Bomu, likizagaa kwenye makazi ya watu.
Bomu likioneka kama limesimikwa na mtu ndani ya nyumba hiyo.
Moja ya Bomu likiwa kwenye uzio wa nyumba.
Baadhi ya raia wa Gongo la Mboto wakitapata barabarani.
Mmoja wa maaskali akiwa amebeba mtoto ambaye mama yake hajapatikana
Huyu naye mama yake hajaonekana.
Baadhi ya watoto walinusulika wakiwa kwenye hema katika Uwanja wa Uhuru.
Mmoja wa Waasilika wa mabomu akiwa amezilai
Msalaba mwekundu wakimpa msaada.
Mmoja wa waasilika wa Mabomu, akisaidiwa na watu wa Msalaba Mwekundu baada ya kuzimia.
Baadhi ya Nyumba iliyoasilika kwa mabomu.
Baki la Bomu likiwa nje ya nyumba ya mkazi mmoja.
Baadhi ya Wahanga wa Mabomu wakiwa Uwanja wa Uhuru.
Rais JK Kikwete akisikiliza chanzo cha mabomu hayo kutoka kwa msemaji wa Kikosi hicho, kambini hapo.
Baadhi ya wakazi wa Gongo la Mboto wakiwa juu ya Daradara tayali kwa kukimbia mabomu.
Mmoja wa waendesha Boda Boda akisafirisha abiria wake.
Wengine wakihama familia nzima kwa kutumia Boda Boda.
Hawa nao wakijikokota kwa miguu kuelekea Uwanja wa Uhuru.
Hari iko hivi Gongo la Mboto kwa leo

0 comments: