MSANII wa muziki wa Kizazi kipya Bongo anayetokea katika lebo ya Shalobaro Records Juma Said ‘Toxstar’juzikati ameibuka na kudai kuwa amekamilisha maandalizi ya albam yake mpya ambayo hakuitaja kwa jina kutokana na sababu zake maalum.
Toxstar aliongeza kuwa albam hiyo itakuwa na jumla ya nyimbo 10 ambazo ni Petty Girl,Petty Girl Remix,Candle Light, Naomba Nielewe,Sisemi,Best Friend, One Two na My Life.
Alitumia flusa hiyo kuwaomba mashabiki zake wote wakae mkao wa kupokea albam hiyo ambayo imesheheni vigongo vikali na kwamba itakuwa na ladha za kimataifa zaidi.
0 comments:
Post a Comment