Social Icons

Thursday, November 11, 2010

PROMOTER YA H,BABA NA JULY TAX SASA IKO MADUKANI

MSANII wa miondoko ya Poteza Poteza ambaye kwa sasa amejikita kwenye masuala ya uchezaji filamu za Kibongo, Hamis Ramadhan 'H Baba' tayari amedondosha madukani filamu inayokwenda kwa jina la Promoter iliyoandaliwa na July Tax.
Akiongea na mateja20 pande za Sinza Afrikasana Novemba 11 mwaka huu, H. Baba alisema kwamba tayali wameshakamirisha filamu hiyo na kwamba inapatikana madukani tangu jana.
Filamu hiyo aliyowachezesha mastaakibao kama Yusuf Mlela,Shalobaro,H.Baba, Eric, Shakira Salima na muandaaji wa movie hiyo July Tax imechezewa katika mji wa Mwanza, Tanga na Dar es Salaam.
H.Baba alitumia muda huo kuwaomba wadau wote wa filamu watembelee katika maduka mbalimbali yanayohusika na uuzaji wa filamu kwani inapatika part 1 na 2.



0 comments: