Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar, jana walinaswa na Mateja20 katika viwanja mbalimbali wakiwa kwenye mishemishe za kusherehekea sikukuu ya Idd katika fukwe za Msasani Beach wakati bendi ya Akudo Impact ‘Vijana wa Masauti’ walikuwa wakikamua.
Pedeshee Pius Ruta ‘Mzee wa Pamba’ akikandamiza.... kwa kiburudisho alicho kiopoa ukumbini hapo.
0 comments:
Post a Comment