Social Icons

Sunday, January 1, 2012

UZINDUZI WA DAR LIVE ULIANZA KWA SHANGWE

Watoto wakiwa katika mabembea.

Michezo ya baiskeli ilikuwa kivutio kikubwa kwa watoto.

UKUMBI wa Dar Live uliopo Mbagala jijini Dar es Salaam umezinduliwa leo saa nne na kuwavutia watu wengi wa eneo hilo na vitongoji vyake ambapo kwa ajili ya kupata burudani ya mwaka mpya iliyojumuisha kila aina ya ‘maraha’ ikiwa ni pamoja na michezo ya watoto kwa watu ambao waliamua kujimwaga hapo na familia zao.
Mabembea ya ‘mzunguko’ yaliwavutia watoto kinoma.


Waliotaka kupanda ‘ndege’ walipata fursa hiyo.


Mratibu wa burudani katika kituo hicho, Juma Mbizo (mwenye kofia), akiwa na familia yake.


Baadhi ya watoto wakiingia katika kituo hicho.


Hapa ni moja ya vivutio vya ukumbi huo.

0 comments: