Social Icons

Tuesday, August 30, 2011

REDD'S YATOA ZAWADI IDD EL FITR KWA WAZAZI NDANI YA HOSPITALI YA MWANANYAMALA

Mshiriki wa miss Tanzania Jenifer kakolaki(kushoto),Tanzania akimbembeleza mtoto mchanga ndani ya Hospitali hiyo.
Warembo wakimsikiliza Mganga Mkuu katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar.
Mrembo akisaini kitabu cha wageni kwa niaba ya warembo wenzake.
Miche ya sabuni na nepi kwaajili ya watoto wachanga waliozaliwa, zawadi hizo zilikabidhiwa hospitalini hapo na warembo kupitia kinywaji cha REDD'S.
Mrembo akionyesha upendo kwa mama na mtoto.
Salha Israel (kushoto, akimbeba kwa furaha mtoto mchanga wodini hapo.
Ni upendo wa hali ya juu sana kwa warembo wa Miss Tanzania kuonyesha ushirikiano na watu tofautitofauti katika jamii yetu,hii imekuwa ikiwezeshwa na Redd's kinywaji murua.
Mrembo toka Tanga akishangaa mtoto alietoka kuzaliwa kama dakika kumi zilizopita,mi kupita REDD'S utatambua haya.
Brand Manager wa REDD'S ,Victoria akiongea na waandishi wa habari nia ya kutoa zawadi hizi kwa wamama waliojifungua miche ya sabuni na nepi kwaajili ya watoto wao wachanga.
Miss tanzania Geneviev Mpangala akiongoza warembo hao ambao walikuwa katika picha ya pamoja na madaktari wa hospitali ya Mwananyamala jijiniDar.
Ziara ilisitishwa kwa picha hii,pongezi REDD'S kuwafikia akina mama waliojifungua kipindi hiki cha Idd.

0 comments: