Social Icons

Wednesday, June 15, 2011

MISS DAR INTER COLLEGE KUPAMBWA NA DULLY SYKES



Warembo watakaochuana katika shindano la kumtafuta Vodacom Miss Dar Inter College litakalofanyika Juni 17, Ijumaa, wiki hii kwenye ukumbi wa Sun Cirro uliopo Sinza jijini Dar.

Mazoezi ya warembo kucheza dansi yanaendelea kambini hapo
Kila mshiriki yuko tayari
Washiriki wakijinoa kwaaili ya shindano hilo.

0 comments: