Social Icons

Tuesday, June 28, 2011

MAMBO YA TWANGA LEADARS CLUB

Rapa wa bendi hiyo Diouf (kulia), akiwa na wadau wa bendi yake.

KAMERA ya mtandao huu ilijitupa katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam, ambako ilikusanya uhondo ufuatao katika picha ambao ulikolezwa na bendi ya Twanga Pepeta ya jijini:



Kipa wa zamani wa timu ya Yanga ya Dar, Nelson Kimathi, akiwa chobingo na mpenzi wake.


Wadau wa burudani wakifurahia shoo ya Twanga Pepeta.


Wasanii wa maigizo, wakijiandaa kuondoka uwanjani baada ya shoo kumalizika.

0 comments: