Social Icons

Tuesday, June 28, 2011

MAMBO YA TUZO ZA ZIFF ZENJI


Waigizaji waliofika katika tamasha wakiwa katika picha ya pamoja.
TUZO za msanii bora wa filamu nchini zimetolewa katika tamasha la kimataifa la filamu (ZIFF) lililomalizika jana huko Zanzibar ambapo kwa Muigizaji Bora wa Mwaka, tuzo hiyo ilienda kwa Jacob Steven ‘JB’ ambaye alijinyakuliwa tuzo ya dhahabu kupitia filamu yake ya Senior Bachelor, ambapo Filamu Bora ya Mwaka ilikuwa ni Ray of Hope iliyotengenezwa na Pilipili Entertainment chini ya mwandaaji Sajni Srivastava.


Msanii wa filamu, Jacqueline Wolper akifuatilia utoaji tuzo.

Mwanamuziki Cissoko kutoka Senegal akitumbuiza katika hafla hiyo.

Sajni Srivastava akionyesha tuzo aliyoshinda.

Jennifer Kyaka ‘Odama’ na Jack wakishuhudia tuzo hizo.

Mwanamuziki ambaye pia ni muigizaji, Baby Madaha, akiongea jambo katika hafla hiyo.

Mwigizaji Hashim Kambi akishuhudia mchakato mzima.

Timu ya Pilipili Entertainment ikiwa katika picha ya pamoja.

Hashimu kambi na Natasha.

Sajni na Baby Madaha.

Kanumba na Steve Nyerere.

Anti Ezekiel naye alikuwepo.

Baby Madaha akiwa na vijana wa Kizenji.


0 comments: