Social Icons

Wednesday, April 27, 2011

RAMSEY NOUAH AAGWA SAVANNAH LOUNGE LEO


Baadhi ya uongozi wa Paridise Hotel ukiwa kwenye picha ya pamoja na Ramsey Nouah na Kanumba.

Mameneja wa vitengo mbalimbali wa hoteli hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja na Ramsey Nouah.

Mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ ambaye kwa sasa anafanya vyema ndani ya tasnia ya filamu Bongo Patcho Mwamba (kulia), akiwa kwenye pozi na Ramsey Nouah.


Ramsey Nouah (kulia), akiteta jambo na Mkurugezi wa Paradise Hoteli.


Msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa kwenye pozi na Patcho Mwamba.


Ramsey Nouah, akipozi na Lulu.


Msanii anayekuja kwa kasi katika tasnia ya filamu Bongo, Kajala Masanja, akiwa kwenye pozi na Ramsey Nouh.


Steven Kanumba, akipozi na Kajala.

0 comments: