Social Icons

Wednesday, March 30, 2011

HUYU NDIYE BWANAMDOGO ALIYEOTESHWA KUTIBU MAGONJWA SUGU MBEYA

Add Image

Dogo, anakwenda kwa jina la Jafar Welino, anaumri wa miaka kumi na saba (17), kama unakumbuka juzi kati alijitangaza naye kuoteshwa kutibu magonjwa matano sugu huko Mbeya.

0 comments: