Social Icons

Friday, December 31, 2010

Mhariri mwandamizi wa magazeti ya GPL Paul Sifael (kushoto), akiwa kwenye pozi na Mhariri kiongozi wa Championi Saleh Ally (kulia) katikati ni msanifu kulasa wa magazeti hayo Latifa Sauko.
Latifa akiwa kwenye pozi na msanifu kurasa mwenzake Edna Titus ndani ya ofisi hiyo.
Mhariri wa gazeti la Championi Ijumaa Elius Kambili, akiwa kwenye pozi la pamoja na wasanifu kurasa wake.

0 comments: