Katibu wa Bunge Dk. Thomas Kashilia akiongea na wanahabari katika ofisi ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam kuhusu shughuli za bunge ambazo zitaanza leo 8-17/11/2010.
MPANGILIO WA SHUGHULI ZA MKUTANO WA KWANZA WA BUNGE
TAREHE 8 - 17 NOVEMBA 2010
JUMATATU 08 Novemba, 2010
Tangazo la Rais Kuitisha Bunge
JUMANNE 09 Novemba, 2010
* Wabunge kuelekea Dodoma
* Kusajili Wabunge Wateule Dodoma
JUMATANO 10 Novemba, 2010
Usajili kuendelea Dodoma - Katibu wa Bunge
ALHAMISI 11 Novemba, 2010
Saa 4.00 Asubuhi
* Mikutano ya Kamati za Vyama vya Siasa
* Kikao cha Briefing UKUMBI WA BUNGE
Saa 10.00 Jioni
Kupokea majina ya wagombea Uspika (Nomination day)
IJUMAA 12 Novemba, 2010
* Mkutano wa Bunge wa Kwanza.
* Kikao cha Kwanza kuanza kwa kusomwa Tangazo la Rais la kuitisha Bunge
* Uchaguzi wa Spika.
* Kiapo cha Spika.
* Wimbo wa Taifa na Dua
* Kiapo cha Utii kwa Wabunge Wote.
JUMAMOSI ASUBUHI 13 Novemba, 2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa
JUMATATU 15 Novemba, 2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa
JUMANNE 16 Novemba, 2010 Asubuhi
Wabunge kuendelea Kuapishwa
Mchana
* Kuthibitisha Jina la Waziri Mkuu
* Waziri Mkuu kutoa Neno la Shukrani
* Uchaguzi wa NAIBU SPIKA
JUMATANO 17 Novemba, 2010
Asubuhi
Waziri Mkuu Kuapishwa IKULU -CHAMWINO
10. Saa 10.00 Jioni
RAIS KULIHUTUBIA BUNGE UKUMBI WA BUNGE
NENO LA SHUKRANI - WAZIRI MKUU
HOJA YA KUAHIRISHA BUNGE
USIKU Tafrija ya Rais kwa Wabunge wote Viwanja vya Bunge
* ENDAPO ITAKUWA SIKUKUU TAREHE 15 AU 16 NOVEMBA, 2010 BUNGE LITASITISHA SHUGHULI ZAKE HADI SIKU INAYOFUATA.
OFISI YA BUNGE
S.L.P. 9133
DAR ES SALAAM
8 Novemba, 2010
TAREHE 8 - 17 NOVEMBA 2010
JUMATATU 08 Novemba, 2010
Tangazo la Rais Kuitisha Bunge
JUMANNE 09 Novemba, 2010
* Wabunge kuelekea Dodoma
* Kusajili Wabunge Wateule Dodoma
JUMATANO 10 Novemba, 2010
Usajili kuendelea Dodoma - Katibu wa Bunge
ALHAMISI 11 Novemba, 2010
Saa 4.00 Asubuhi
* Mikutano ya Kamati za Vyama vya Siasa
* Kikao cha Briefing UKUMBI WA BUNGE
Saa 10.00 Jioni
Kupokea majina ya wagombea Uspika (Nomination day)
IJUMAA 12 Novemba, 2010
* Mkutano wa Bunge wa Kwanza.
* Kikao cha Kwanza kuanza kwa kusomwa Tangazo la Rais la kuitisha Bunge
* Uchaguzi wa Spika.
* Kiapo cha Spika.
* Wimbo wa Taifa na Dua
* Kiapo cha Utii kwa Wabunge Wote.
JUMAMOSI ASUBUHI 13 Novemba, 2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa
JUMATATU 15 Novemba, 2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa
JUMANNE 16 Novemba, 2010 Asubuhi
Wabunge kuendelea Kuapishwa
Mchana
* Kuthibitisha Jina la Waziri Mkuu
* Waziri Mkuu kutoa Neno la Shukrani
* Uchaguzi wa NAIBU SPIKA
JUMATANO 17 Novemba, 2010
Asubuhi
Waziri Mkuu Kuapishwa IKULU -CHAMWINO
10. Saa 10.00 Jioni
RAIS KULIHUTUBIA BUNGE UKUMBI WA BUNGE
NENO LA SHUKRANI - WAZIRI MKUU
HOJA YA KUAHIRISHA BUNGE
USIKU Tafrija ya Rais kwa Wabunge wote Viwanja vya Bunge
* ENDAPO ITAKUWA SIKUKUU TAREHE 15 AU 16 NOVEMBA, 2010 BUNGE LITASITISHA SHUGHULI ZAKE HADI SIKU INAYOFUATA.
OFISI YA BUNGE
S.L.P. 9133
DAR ES SALAAM
8 Novemba, 2010
0 comments:
Post a Comment