Mambo ya masanga!! mshikaji alipatikana juzikati pale Mango Garden Kinondoni baada ya kujitwika kwa mfurulizo kinywaji hicho na kujikuta akizimika, washikaji zake walianza kumuamsha lakini alikuwa amepoteza hisia kama hivyo, na kuamua kumtunza chupa za bia kama inavyoonekana katika picha hii. Michael Sangu" Mike" akitupia viwalo tayari kwa kulitafuta kanisa. Mrembo anakwenda kwa jina la Doreen, juzikati alinaswa na Kamera ya Mateja20 pande za Kinondoni akitupia kilaji ndani ya ukumbi wa Mango Garden. Doreen akiwa na ... pande hizo. Queen Suzy akijaribu kuweka sawa nywele zake muda mfupi kabla ya kupanda stejini kusugua kisigino. Waigizaji wa filam Bongo wakiwa kwenye piozi la pamoja ndani ya Ukumbi wa Florida Masaki jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Chuchu Hansi (kulia) akiwa kwenye pozi na muigizaji wa kundi la Bongo Dar es Salaam. . The Great Kanumba akiwa na Thea ndani ya Ukumbi wa Florida juzikati. Mike na Thea wakiwa kanisani hivi karibuni baada ya kufunga pingu za maisha. Dinno akimvarisha suti Mike siku ya Ndoa yake. Mike akilipa bili baada ya kunyolewa. Abiyola akijaribu kumweka sawa Mike. Mike akinyolewa. Akioshwa Nywele. Baada ya kumaliza kufanyiwa Scrub.
0 comments:
Post a Comment