Social Icons

Monday, September 27, 2010

KAMA KAWA, KAMA DAWA, POZI NDO KWETU BAANA!!

Siwatajii... kama vipi nanyi jishughulisheni kutafuta ji.... lake baaanaaa!!!
Mambo ya pooozi'ssss..............
Leo sisubutu kutaja hadi nione maoni yenu wazeeeyaaaaaaaaaaa!!
Eeeeh!! wako poa kweli taizo maj.... kuwafaham ndo issue kwa leoooo
Najua hapa mtahisi aliyeachia ta.... la TZ.
Huyu nitawaambia kwakuwa ni mnenguaji wa Twanga, Asha Said 'Shalapova'
Tumeni maoni yenu niwape nambaaaaaaaaaaaaa zao!!
Eti kama mnamfahamuuuuuuuuuuu!!!!!!!!
Meneja Uhusiano wa Zain Tanzania (kushoto) na mwanaye wakiwa kwenye pozi na mateja20.
Rapa machachali wa Twanga (mwenye miwani) Fagason akifuatiwav na Mateja20 bila kumsahau Said, ambapo tulikutana pande za Leadars Club Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bonanza la wasanii TZ Michael Sango 'Mac' (Kushoto) Akiwa na mjumbe wa kamati hiyo Dinno (katikati) na mwisho ni Coco mwanamuziki wa FM Aademia.
Wadau wakiwa katika pozi makini wakiongozwa na Cathbert wa Michuzi JR, wa kwanza kushoto.
Fagason aki.... na Anger wake baaaaaaaanaaa!!!!!!!!!
Kama hivi wazeeeeeeeeyeeeeeeey!!
Jopo zima la viongozi wa (TAFF) wakiwa kwenye pozi na Rais wao wa ( mwisho kulia) Saimon Mwakifamba.

0 comments: