MISS Vodacom Tanzania2010, Geneviva Mpangala (katikati) akiwa na washindi wenzake muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kulia ni mshindi wa tatu Consolata Msofe, na kushoto ni mshindi namba mbili Groly Mwanga. Baadhi ya warembo waliyobahatika kufika kumi bora. Miss Vodacom 2010 wakiwa kwenye vazi la ufukweni.
0 comments:
Post a Comment