Social Icons

Thursday, August 11, 2011

YALIYOJILI BUNGENI LEO HII

Mbunge wa Kwimba (CCM) Richard Ndassa, akichangia Bungeni leo wakati wa makadilio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda na Bishara. Picha Zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO
Mbunge wa Lindi ( CUF ) Salim Baruani, akifuatilia mjadala wa mwaka wa fedha ya wizara ya Viwanda na Biashara 2011-2012 Dododma.
Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini, CHADEMA- akichangia hotuba ya ya makadirio na mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa mwaka wa Fedha 2011-2012.
Mbunge wa Nzega (CCM) Dkt. Hamis Kigwangalla, akichangia wakati wa Bajeti ya mapatto na matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara mjini Dodoma leo.
"Afadhali mkuu Bajeti yetu mmeipitisha sasa ni kazi tu mkuu wangu"
Waziri Mkuu Mizengi Pinda (kulia) , Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anaesshughulikia Sera Uratibu na Bunge William Lukuvi,(katikati ) pamoja na Wazri wa Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. William Nchimbi wakijadiliano jambo wakati wakiwa katika ukumbi wa Bunge leo.

PICHA: MWANAKOMBO JUMAA-MAELEZO



0 comments: