Social Icons

Saturday, August 6, 2011

REDD'S YAFURUSHA MA-MISS WANAOTARAJIA KUINGIA KAMBI YA MISS TZ

Warembo wa kanda za Ilala,Temeke na Kinondoni wakichukua futari tayari kwa kufuturu jana jioni katika hoteli ya city Garden jijini Dar.
Baadhi ya Warembo wa Kanda tatu za jijini Dar es Salaam wakipata ftari ya pamoja
Brand manager wa Redd's akitoa ufafanuzi nia na madhumuni ya kuandaa futari hiyo kwa warembo wa Dar wanaingia kambini jumatatu.
Vicky akipata msosi wake.
Kalikumtima utameza kweli lote hilo..!?
Maulus na matunda chakula chake tunakifahamu sisi.
Husna Maulid
Jennifer Kakolaki akipata msosi
Alexia Williams miss Ilala namba mbili
Husna maulid miss kinondoni namba tatu
Jennifer Kakolaki miss Ilala namba tatu
Queen of Ilala Salha Kifai
Queen of Kinondoni Stelah Mbuge
Queen of Temeke.

0 comments: