Social Icons

Thursday, June 16, 2011

NBC YAISAIDIA EOTF

Mkuu wa Masoko na mawasiliano wa Benki ya NBC, Mwinda Kiula-Mfugale (kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shillingi milioni 18,200,000/- kwa Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF) Mama
Anna Mkapa kwa ajili ya mafunzo ya wanawake wajasiriamali 250 yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam. Hafla ya makabidhiano ilifanyika katika ofisi za EOTF, Dar es Salaam jana. Picha inayofuata wakionyesha mfano wa hundi hiyo.

NATIONAL BANK OF COMMERCE

0 comments: