Social Icons

Tuesday, May 31, 2011

GARI LAGONGA BAJAJ

Baadhi ya mashuhuda wa ajali waliofika mahali pa tukio.

Mmoja wa abiria waliokuwa katika Bajaj akikagua madhara ya ajali hiyo.

DEVERA mmoja wa Bajaj ambaye jina lake halikufahamika, alinusurika kufa juzi Jumapili maeneo ya Kawe, jijini Dar es Salaam, baada ya kugongwa na gari ambalo dereva wake alikimbia kwenda kusikojulikana akidhani ameua. Hata hivyo, dereva huyo na abiria wake hawakuumia sana kwani waliweza kushirikiana kulifukuza gari hilo kwa miguu japo hawakufanikiwa. Bajaj hiyo iliharibika sehemu kadhaa.

0 comments: