Social Icons

Wednesday, April 27, 2011

‘BONGO MOVIES’ WAAMBULIA PATUPU TAMASHA LA SOKA PASAKA

'Bongo Movies' wakijiandaa na mchezo.
WACHEZA sinema nchini wanaojulikana kwa jina la utani la ‘Bongo Movies’ hawakuonyesha cheche zozote katika mchezo wa soka wa tamasha la Pasaka uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Tabata jijini Dar es Salaam ambapo uliwakutanisha wasanii hao na timu za Tabata Veteran, Paris Pub na Temeke Marketing.
Katika tukio hilo lililotoa burudani tosha kwa mashabiki wa soka, wasanii hao walikuwa kivutio kikubwa kutokana na umaarufu wao na jinsi soka lilivyoonekana kuzamisha juhudi zao wanazotumia kusimama mbele ya kamera.

Jackob Steven ‘JB’ akiweka misuli yake sawa.


Zuwena Mohammed ‘Shilole’ akiwahamasisha na Vuvuzela.


Steven Nyerere akiwa haamini kwamba timu yake imefungwa.


Sura za kukata tamaa za wasanii walioambulia patupu.

0 comments: