Social Icons

Thursday, October 7, 2010

CHEKI NA MATEJA20 KWA PICHA MIX

Wadau wa Mateja20, katika pozi.
Je,unaiweza hii poziiiiiiiii
Ebwana pozi zinatisha Wazeeey!!!
Warembo wakifuatilia mchongo mzima wa Kanga za kale ndani ya Ukumbi wa Diamond Jublee hivi karibuni.
Ni pozi tu hakuna....hapa.
Hapa jeeeeeeee?
Je, unamfahamu huyu, kama humfaham basi faham hivi, Anakwenda kwa jina la Steve, anatamburika kupitia Lebo ya Zizzou Entertaiment, nakwamba anakubalika vilivyo katika game ya Bongo Fleva hapa nchini hasa kupitia miondoko yake ya R&B.
Hapa napo ni freeshiiiiii baaaaaanaaaa!
Mme waonaa!!!!!!
Hawakuishia hapo tu baaanaa!!!!!!
Pozi zao zilikamilikia hapa.
EeH! bwanaaa!

0 comments: