Social Icons

Thursday, September 30, 2010

MISS TANZANIA TAYALI KWA SAFARI YA MISS WOLD NCHINI CHINA

Genevive Emmanuel akiwa ameshikilia bendera ya taifa mara baada ya kukabidhiwa rasmi tayari kwa safari yake ya kuelekea nchini China leo.
Vodacom Miss Tanzania, Genevieve Emmanuel Mpangala, jana ikabidhiwa Bendera ya Taifa tayari kwa safari yake ya kuelekea nchini China katika jiji la Sanya ambako shindano la dunia Miss World 2010 inatarajiwa kufanyika Oktoba 31 mwaka huu. Genevieve ataondoka leo kwa ndege ya Shirika la Quatar Airways akipitia Uarabuni, Mongolia na kisha kutua Sanya nchini China.


Esther Mkwizu (wa pili kushoto), ambaye ni Mwenyekiti wa Sekta Binafsi na aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya kukabidhi Bendera ya Taifa kwa Vodacom Miss Tanzania akikabidhi bendera hiyo huku wazazi wa Genevive wakishuhudia, kulia ni baba yake Bw. Emmanuel Mpangala na kushoto ni mama yake Mary.

0 comments: