Social Icons

Wednesday, June 16, 2010

MLIMANI CITY SASA KAMA SAUZI!

Mashabiki lukuki wa soka nchini usiku wa kuamkia leo waliigeuza mlimani City kama Afrika Kusini ‘Sauzi’ baada ya kufulika kwenye viwanja hivyo kutazama mpira kati ya timu ya Taifa ya Brazir na Korea Kaskazini



0 comments: