Baadhi ya Wadau wa Kampuni ya ‘ASET’ Hapa wanaonekana wakiwa wameshikilia kadi za kupigia kura huku wakimsisidizia Asha Baraka agombee Ubunge ili wapate kupingia kura katika uchaguzi mkuu ujao. Vijana hawa walionekana wakimuonyeshea vitamburisho vyao katika Viwanja vya Leaders Club kinondoni Dar hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment